Habari


  • Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi  ya Uadilifu
    11
    Sep
    2023

    Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi ya Uadilifu

    Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi ya Uadilifu... Soma zaidi

  • DC ULANGA AFIKISHWA MBELE YA BARAZA LA MAADILI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA
    05
    Sep
    2023

    DC ULANGA AFIKISHWA MBELE YA BARAZA LA MAADILI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

    Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mhe. Dkt. Julius Kenneth Ningu (59) amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili kwa tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka na lugha za vitisho dhidi ya watumishi wa umma alipokuwa katika ziara za ukaguzi wa miradi mbalimbali.... Soma zaidi

  • WAHESHIMIWA MAHAKIMU MKOA WA KILIMANJARO WAASWA KUJIEPUSHA NA MGONGANO WA MASLAHI
    04
    Sep
    2023

    WAHESHIMIWA MAHAKIMU MKOA WA KILIMANJARO WAASWA KUJIEPUSHA NA MGONGANO WA MASLAHI

    Kauli hiyo imetolewa na Katibu Msaidizi kanda ya kaskazini Arusha Bi. Anna Mbasha alipokuwa akitoa mafunzo kwa mahakimu wa ngazi mbalimbali wa mkoa wa Kilimanjaro kuhusu maadili hivi karibuni.... Soma zaidi

  • WATUMISHI WA SEKRETARIETI  YA  MAADILI   WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU  YAO  KWA  WELEDI  NA  UADILIFU.
    24
    Aug
    2023

    WATUMISHI WA SEKRETARIETI YA MAADILI WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA WELEDI NA UADILIFU.

    WATUMISHI WA SEKRETARIETI YA MAADILI WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA WELEDI NA UADILIFU.... Soma zaidi