JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS – SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Idara ya Ukuzaji wa Maadili

Objective

To improve ethical conduct of Public Leaders

Functions

  • To carry out civic education to Public Leaders and public at large on the Public Leadership Code of Ethics Act;
  • To carry out research and study on status of ethical behavior among Public Leaders and advise accordingly;
  • To coordinate implementation of Integrity Pledge to public and private sectors;
  • To manage conflict of interest among Public Leaders;
  • To involve stakeholders in promotion and monitoring of leadership ethics (school, colleges and non - state actors);
  • To update database related to Public Leaders and other related information;
  • To develop preventive measures and guidelines for Public Leaders; and
  • To undertake risk analysis on Public Leaders conduct.

This Division is led by a Secretary and will comprise two (2) Sections as follows:-

  1. Research and Records Analysis Section; and
  2. Ethics Promotion Section.

Research and Records Analysis Section

This Section performs the following activities: -

  • Carry out research and study on status of ethical behavior among Public Leaders and advise accordingly;
  • Update database related to public leaders and other related information;
  • Propose preventive measures and guidelines for Public Leaders; and
  • Undertake risk analysis on the conduct of Public Leaders.

This Section is led by an Assistant Secretary.

Ethics Promotion Section

This Section performs the following activities:-

  • Prepare Public Leaders ethics promotion programmes;
  • Carry out civic education to Public Leaders and public at large on the Public Leadership Code of Ethics Act;
  • Coordinating implementation of Integrity Pledge to public and private sectors; and
  • Management of conflict of interest among Public Leaders.

This Section is led by an Assistant Secretary.

Online Help
Kuanzisha Enzi Mpya katika Udhibiti wa Sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini Tanzania
Ofisi ya maadili inafanya kazi na imewashughulikia viongozi wengi sana kupitia Baraza la Maadili ambalo pia liliendeshwa mwaka 2013 Novemba mkoani Tabora. Viongozi mbalimbali waliokuwa na tuhuma za ukiukaji wa maadili waliitwa kwenye Baraza na kuhojiwa na Baraza linatoa mapendekezo na kuyawasilisha mapendekezo hayo kwa Rais kwa ajili ya hatua zaidi za kinidhamu na kisheria kwa viongozi husika.

" >
Kifungu cha 11(1) cha Sheria ya Maadili kimeainisha wazi mali zinazotakiwa kutajwa kuwa ni fedha taslimu, fedha zilizopo katika taasisi za kifedha kama vile benki, hisa, nyumba, mashamba, magari, mitambo na mali nyinginezo. Kiongozi anatakiwa kutoa tamko la mali anazomiliki yeye mwenyewe, mke/mume na watoto walio chini ya umri wa miaka kumi na nane. Fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni zinatakiwa kujazwa kila mwaka na kiongozi hutumiwa fomu hizo na Ofisi ya Maadili na pia zinapatikana katika mtandao wa maadili yaani www.ethicssecretariat.go.tz. Sheria inamtaka kiongozi kutolea tamko madeni yake ili kuweza kujua kuwa kiongozi anamiliki mali zipi na pia kutambua kuwa amezipata vipi mali hizo ukilinganisha na kipato cha kiongozi husika. Kiongozi kuwa na mali nyingi si dhambi kwani hata Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetamka wazi kuwa kila raia ana haki ya kumiliki mali ila ofisi inataka kujiridhisha uhalali wa jinsi mali ilivyopatikana. Mapendekezo katika Katiba mpya yanasisitiza maadili kwa kutenganisha uongozi na biashara.

" >
Wananchi wengi wamejijengea dhana kuwa bila pesa huwezi kupata huduma ya kiserikali kitu ambacho si kweli kwani huduma nyingi za kiserikali zinatolewa bure kabisa ila cha msingi wananchi wanatakiwa kutoa taarifa katika vyombo husika pindi wanapotakiwa kulipia huduma ambazo zinatolewa bure. Jamii inatakiwa kubadilika na kuamini kuwa si lazima kutoa rushwa ndipo upate huduma. Wapo wananchi wengi ambao walileta malalamiko kama hayo na Ofisi ya Maadili iliyashughulikia, hivyo wananchi wasisite kutembelea Ofisi zetu kwa ajili ya kutoa taarifa kama hizo.

" >
Kutoa lugha chafu ni ukiukwaji wa maadili. Ndani ya Bunge kuna Kamati ya Maadili ambayo ipo kwa ajili ya kuwawajibisha wabunge wanaotoa lugha chafu. Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa upande wake ilifanya semina kwa wabunge ili kuwakumbusha mipaka ya utendaji kazi na maadili kwa ujumla, na tangu wakati huo matumizi ya lugha chafu bungeni yamepungua kwa kiasi kikubwa.

" >