Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi akifungua mafunzo ya Maadili kwa Viongozi wa Mkoa wa Mwanza yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za TANROADS Mkoani Mwanza tarehe 21 Septemba, 2023.

Katibu Msaidizi Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Ziwa - Mwanza Bw. Godson Kweka akitoa neno la utangulizi katika mafunzo ya Viongozi wa mkoa wa Mwanza yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi zaTANROADS Mkoani Mwanza tarehe 21 Septemba, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Mwanza walioshiriki mafunzo ya Maadili yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za TANROADS Mkoani Mwanza tarehe 21 Septemba, 2023.

Jaji (Mst.) Sivangilwa Mwangesi, Kamishna wa Maadili (hayuko pichani) akiongoza kiapo cha Ahadi ya Uadilifu kwa Waheshimiwa Majaji wa Rufani na Majaji wa Mahakama Kuu walioteuliwa hivi karibuni katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam tarehe 14.9.2023

Wajumbe wa Baraza la Maadili tarehe 6 Septemba, 2023 wakiwa katika kikao cha uchunguzi wa tuhuma za ukiukwaji wa maadili dhidi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Lushoto mkoani Tanga, Mhe. Mathew Paul Mbaruku (wa kwanza kushoto), katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma, aliyekaa katikati ni Mwenyekiti wa Baraza Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba.

Mkuu wa wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro Dkt. Jiulus Kenneth Ningu Septemba 5, 2023 akiwa mbele ya Baraza la Maadili mjini Dodoma kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.

Karibu


Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni Taasisi ya Serikali inayojitegemea chini ya Ofisi ya Rais.Taasisi hii imeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995 iliyotungwa na kuanza kutumika rasmi Julai,1995.

Soma zaidi

  • news title here
    21
    Sep
    2023

    Viongozi wa Umma Waaswa Kuwa Waadilifu

    Viongozi wa Umma Waaswa Kuwa Waadilifu.. Soma zaidi

  • news title here
    11
    Sep
    2023

    Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi ya Uadilifu

    Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi ya Uadilifu.. Soma zaidi

  • news title here
    05
    Sep
    2023

    DC ULANGA AFIKISHWA MBELE YA BARAZA LA MAADILI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

    Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mhe. Dkt. Julius Kenneth Ningu (59) amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili kwa tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka na lugha za vitisho dhidi ya watumishi wa umma alipokuwa katika ziara za ukaguzi wa miradi m..... Soma zaidi

Habari Zaidi
    • 27
      Jul
      2017

      Sekretarieti ya Maadili yaadhimisha Siku ya Maadili.

      Mahali: At Mnazi Mmoja Stadium

      Soma zaidi
    • 29
      Jul
      2017

      maadili siku ya michezo

      Mahali: Gymkhana Ground

      Soma zaidi
    • 25
      Jul
      2017

      Warsha ya Wahariri wa Vyombo vya Habari

      Mahali: Serena Hotel

      Soma zaidi
    • 25
      Jul
      2017

      Baraza la Maadili

      Mahali: Karimjee Hall

      Soma zaidi
    Matukio Zaidi