Afisa Maadili kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kati Dodoma, Bi Amina Muru , akiongoza kiapo cha Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi wa Wakala wa Ufundi Na Umeme Tanzania(TEMESA), katika hafla iliyofanyika kwenye Ofisi za TEMESA makao makuu jijini Dodoma tarehe 21 Oktoba, 2024.
Mkuu wa Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka akiwa mbele ya Baraza la Maadili ambapo amefikishwa kwa tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jijini Dodoma tarehe 16 Oktoba, 2024.
Afisa Maadili kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kati Dodoma, Bi. Amina Muru akiongoza kiapo cha Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi za Halmashauri hiyo tarehe 9 Oktoba, 2024.
Afisa Maadili kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kati Dodoma, Bi. Amina Muru akiongoza kiapo cha Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi za Halmashauri hiyo tarehe 9 Oktoba, 2024.
Mhe. Jaji (Mst.) Sivangilwa Mwangesi,ambaye ni Kamishna wa Maadili akiongea na wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwenye kikao cha kujitathmini cha Menejimenti hiyo kilichofanyika katika hoteli ya Cate mjini Morogoro Septemba 25, 2024.
Mhe. Jaji (Mst.) Sivangilwa Mwangesi ambaye ni Kamishna wa Maadili akifungua kikao cha kujitathmini kwa wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kilichofanyika katika hoteli ya Cate mjini Morogoro Septemba 24, 2024.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama Prof. Elisante Ole Gabriel akitoa mada kuhusu namna ya kufikiri kimkakati kwa wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika hoteli ya Cate mjini Morogoro Septemba 24,2024.
Jaji (Mst.) Mhe. Sivangilwa Mwangesi ambaye ni Kamshina wa Maadili akiongea na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi (hawapo pichani) katika mkutano wa Baraza hilo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Cate Hoteli mjini Morogoro Septemba 23, 2024.
Bi. Jasmin Awadhi, Katibu Msaidizi Kanda ya Kati Dodoma, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, akitoa mafunzo ya uwajibikaji wa pamoja kwa waheshimiwa madiwani na wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya wilaya ya Mpwawa, mafunzo yalifanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mpwapwa tarehe 05 septemba 2024.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpwapwa Mhe. George Rume akifungua mafunzo yaliyohusu uwajibikaji wa pamoja kwa waheshimiwa madiwani na wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya wilaya ya Mpwawa, mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kati yalifanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mpwapwa tarehe 05 septemba 2024.