Kamishna wa Maadili Mhe.Jaji (Mst) Sivangilwa Mwangesi akifungua kikao cha watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma tarehe 08 June,2023. Kulia kwa Kamishna ni Katibu Idara ya Ukuzaji Maadili Bw. Waziri Kipacha na kushoto kwa Kamishna ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bi. Teddy Njau.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bi. Teddy Njau akitoa neno la ufunguzi wa kikao cha watumishi wa Ofisi hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma tarehe 08 June,2023.

Kamishna wa Maadili Mhe Jaji (Mst) Sivangilwa Mwangesi akimkabidhi cheti mfanyakazi bora wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bw. Mohamed Mwinyi katika kikao cha wafanyakazi wa Ofisi hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma tarehe 08 June,2023

Katibu Msaidizi Kanda ya Magharibi-Tabora Bw. Gerald Mwaitebele akitoa mafunzo ya Maadili kwa baadhi ya watumishi kutoka TAKUKURU na Tume ya Ushirika. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tabora tarehe 08 June, 2023

Karibu


Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni Taasisi ya Serikali inayojitegemea chini ya Ofisi ya Rais.Taasisi hii imeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995 iliyotungwa na kuanza kutumika rasmi Julai,1995.

Soma zaidi

  • news title here
    31
    May
    2023

    Viongozi na Watumishi watakiwa kuwajibika:

    Viongozi na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze wametakiwa kufanya kazi kwa kuwajibika kwa pamoja na kujiepusha na mgongano wa Maslahi, katika utendaji wao wa kila siku ... Soma zaidi

  • news title here
    23
    May
    2023

    MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN AMWAPISHA JAJI (Mst.) TEEMBA KUWA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAA...

    Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemwapisha Jaji (Mst.) Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma tarehe 23.5.2023... Soma zaidi

  • news title here
    08
    May
    2023

    Wachunguzi wapigwa msasa katika uchunguzi wa masuala ya kifedha na kidigitali

    Wachunguzi wapigwa msasa katika uchunguzi wa masuala ya kifedha na kidigitali.. Soma zaidi

Habari Zaidi
    • 27
      Jul
      2017

      Sekretarieti ya Maadili yaadhimisha Siku ya Maadili.

      Mahali: At Mnazi Mmoja Stadium

      Soma zaidi
    • 29
      Jul
      2017

      maadili siku ya michezo

      Mahali: Gymkhana Ground

      Soma zaidi
    • 25
      Jul
      2017

      Warsha ya Wahariri wa Vyombo vya Habari

      Mahali: Serena Hotel

      Soma zaidi
    • 25
      Jul
      2017

      Baraza la Maadili

      Mahali: Karimjee Hall

      Soma zaidi
    Matukio Zaidi