Karibu
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni Taasisi ya Serikali inayojitegemea chini ya Ofisi ya Rais.Taasisi hii imeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995 iliyotungwa na kuanza kutumika rasmi Julai,1995.
Soma zaidi-
31
May
2023Viongozi na Watumishi watakiwa kuwajibika:
Viongozi na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze wametakiwa kufanya kazi kwa kuwajibika kwa pamoja na kujiepusha na mgongano wa Maslahi, katika utendaji wao wa kila siku ... Soma zaidi
-
23
May
2023MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN AMWAPISHA JAJI (Mst.) TEEMBA KUWA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAA...
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemwapisha Jaji (Mst.) Rose Teemba kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma tarehe 23.5.2023... Soma zaidi
-
08
May
2023Wachunguzi wapigwa msasa katika uchunguzi wa masuala ya kifedha na kidigitali
Wachunguzi wapigwa msasa katika uchunguzi wa masuala ya kifedha na kidigitali.. Soma zaidi
-
27
Jul
2017 -
29
Jul
2017 -
25
Jul
2017 -
25
Jul
2017