Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe, Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna wa Maadili Mhe, Jaji Sivangilwa Mwangesi na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma tarehe 24 March 2023.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe, Jenista Mhagama akitoa hotuba yake kwenye Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma tarehe 24 March 2023.
Kamishna wa Maadili Mhe.Jaji (Mst) Sivangilwa Mwangesi akiongoza kiapo cha Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni.Hafla hiyo ilifanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Machi,2023
Baadhi ya watumishi wanawake kutoka Sekretarieti ya Maadili Makao Makuu -Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika Halmashauri ya Kondoa Mkoani Dodoma tarehe 08 Machi, 2023
Baadhi ya watumishi wanawake kutoka Sekretarieti ya Maadili Kanda Maalum-Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijin Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2023
Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao kazi cha kuhuisha mwongozo wa kushughulikia malalamiko. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Morena Mkoani Dodoma tarehe 27 February,2023. Kulia kwa Kamishna ni Katibu Idara ya Usimamizi Maadili Sekretarieti ya Maadili Bw. John Kaole na kushoto kwa Kamishna ni Mwezeshaji wa kazi hiyo Bi. Caroline Lugenge kutoka TAKUKURU.
Afisa Maadili Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kanda ya Kaskazini – Arusha Bw. Musiba Magoma akitoa mada kuhusu Hati ya Ahadi ya Uadilifu katika mafunzo kwa viongozi na watumishi wa umma kutoka Chuo cha Usimamizi wa Wanyama Pori –Mweka. Mafunzo hayo yalifanyika tarehe 24 February, 2023 chuoni hapo mkoani Kilimanjaro
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo wakifatilia kwa makini hotuba ya Mgeni rasmi Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Bw Daniel Barago (hayupo pichani) katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora tarehe 14 Februari 2023.
Karibu
Sekretarieti ya Maadili ni Idara ya huru ya Serikali chini ya Ofisi ya Rais iliyoanzishwa chini ya Ibara ya 132 ya Katiba ya 1977 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi yake kuu ni kutekeleza Sheria ya Maadili ya Uongozi wa Umma, Na. 13 ya 1995 (Sura ya 398), hasa kufuatilia tabia na maadili ya Viongozi wa Umma. Tovuti hii ni njia ya habari muhimu juu ya kukuza na kutekeleza kanuni na maadili ya kimaadili ambayo ni lazima ya kuzingatiwa na Viongozi wote wa Umm...
Soma zaidi
-
24
Mar
2023
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili Ya Viongozi wa Umma wametakiwa kuwajibika kati...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe, Jenista Mhagama ametoa wito kwa watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kutekeleza jukumu lao la msingi la kikatiba..
Soma zaidi
-
25
Feb
2023
Viongozi na watumishi wa Mweka waaswa kuwa waadilifu.
Viongozi na watumishi wa Mweka waaswa kuwa waadilifu...
Soma zaidi
-
16
Feb
2023
Viongozi wa Halmashauri ya Chemba wajengewa uwezo kuhusu uwajibikaji wa pamoja.
Viongozi wa Halmashauri ya Chemba wajengewa uwezo kuhusu uwajibikaji wa pamoja...
Soma zaidi
Habari Zaidi
-
27
Jul
2017
Sekretarieti ya Maadili yaadhimisha Siku ya Maadili.
Mahali: At Mnazi Mmoja Stadium
Soma zaidi
-
29
Jul
2017
maadili siku ya michezo
Mahali: Gymkhana Ground
Soma zaidi
-
25
Jul
2017
Warsha ya Wahariri wa Vyombo vya Habari
Mahali: Serena Hotel
Soma zaidi
-
25
Jul
2017
Baraza la Maadili
Mahali: Karimjee Hall
Soma zaidi
Matukio Zaidi