JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS – SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Idara ya Usimamizi wa Maadili

Objective

To improve ethical conduct of Public Leaders.

Functions

  • To prepare and issue Declaration Forms to Public Leaders listed under the Public Leadership Code of Ethics Act (PLCEA);
  • To receive and Verify Declaration of Assets, Interest and Liabilities;
  • To maintain the Register of Assets, Interest and Liabilities;
  • To carry out thorough preliminary investigation on complaints on alleged breach of the Code of Ethics by the Public Leaders;
  • To initiate and conduct any investigation with respect to breach of the Code of Ethics prescribed under the Act; and
  • To carry out verification of leaders Assets and Liabilities Declarations.

This Division is led by a Secretary and has (2) Sections as follows:-

  • Investigation Section; and
  • Compliance Section.

Investigation Section

This Section performs the following activities:-

  • Administer reception of allegations and notification of breach of the Code of Ethics by Public Leaders from members of the public;
  • Carry out thorough preliminary investigation on complaints in alleged breach of the Code of Ethics by the Public Leaders; and
  • Initiate and conduct any investigation with respect to breach of the Code of Ethics prescribed under the Act;

This Section is led by an Assistant Secretary.

Compliance Section

This Section performs the following activities:-

  • Maintain the Register of Assets, Interests, Liabilities as well as gifts provided to Public Leaders;
  • Prepare and issue Declaration Forms to Public Leaders listed under the Public Leadership Code of Ethics Act (PLCEA);
  • Receive and verify Declaration of Assets, Interest and Liabilities;
  • Carry out physical verification of leaders Assets and Liabilities Declarations;
  • Manage complaints related to the breach of code.

This Section is led by an Assistant Secretary.

 

Online Help
Kuanzisha Enzi Mpya katika Udhibiti wa Sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini Tanzania
Ofisi ya maadili inafanya kazi na imewashughulikia viongozi wengi sana kupitia Baraza la Maadili ambalo pia liliendeshwa mwaka 2013 Novemba mkoani Tabora. Viongozi mbalimbali waliokuwa na tuhuma za ukiukaji wa maadili waliitwa kwenye Baraza na kuhojiwa na Baraza linatoa mapendekezo na kuyawasilisha mapendekezo hayo kwa Rais kwa ajili ya hatua zaidi za kinidhamu na kisheria kwa viongozi husika.

" >
Kifungu cha 11(1) cha Sheria ya Maadili kimeainisha wazi mali zinazotakiwa kutajwa kuwa ni fedha taslimu, fedha zilizopo katika taasisi za kifedha kama vile benki, hisa, nyumba, mashamba, magari, mitambo na mali nyinginezo. Kiongozi anatakiwa kutoa tamko la mali anazomiliki yeye mwenyewe, mke/mume na watoto walio chini ya umri wa miaka kumi na nane. Fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni zinatakiwa kujazwa kila mwaka na kiongozi hutumiwa fomu hizo na Ofisi ya Maadili na pia zinapatikana katika mtandao wa maadili yaani www.ethicssecretariat.go.tz. Sheria inamtaka kiongozi kutolea tamko madeni yake ili kuweza kujua kuwa kiongozi anamiliki mali zipi na pia kutambua kuwa amezipata vipi mali hizo ukilinganisha na kipato cha kiongozi husika. Kiongozi kuwa na mali nyingi si dhambi kwani hata Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetamka wazi kuwa kila raia ana haki ya kumiliki mali ila ofisi inataka kujiridhisha uhalali wa jinsi mali ilivyopatikana. Mapendekezo katika Katiba mpya yanasisitiza maadili kwa kutenganisha uongozi na biashara.

" >
Wananchi wengi wamejijengea dhana kuwa bila pesa huwezi kupata huduma ya kiserikali kitu ambacho si kweli kwani huduma nyingi za kiserikali zinatolewa bure kabisa ila cha msingi wananchi wanatakiwa kutoa taarifa katika vyombo husika pindi wanapotakiwa kulipia huduma ambazo zinatolewa bure. Jamii inatakiwa kubadilika na kuamini kuwa si lazima kutoa rushwa ndipo upate huduma. Wapo wananchi wengi ambao walileta malalamiko kama hayo na Ofisi ya Maadili iliyashughulikia, hivyo wananchi wasisite kutembelea Ofisi zetu kwa ajili ya kutoa taarifa kama hizo.

" >
Kutoa lugha chafu ni ukiukwaji wa maadili. Ndani ya Bunge kuna Kamati ya Maadili ambayo ipo kwa ajili ya kuwawajibisha wabunge wanaotoa lugha chafu. Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa upande wake ilifanya semina kwa wabunge ili kuwakumbusha mipaka ya utendaji kazi na maadili kwa ujumla, na tangu wakati huo matumizi ya lugha chafu bungeni yamepungua kwa kiasi kikubwa.

" >