Karibu
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni Taasisi ya Serikali inayojitegemea chini ya Ofisi ya Rais.Taasisi hii imeanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995 iliyotungwa na kuanza kutumika rasmi Julai,1995.
Soma zaidi-
11
Sep
2023Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi ya Uadilifu
Watumishi wa TRA- Arusha waaswa kuzingatia Ahadi ya Uadilifu.. Soma zaidi
-
05
Sep
2023DC ULANGA AFIKISHWA MBELE YA BARAZA LA MAADILI KWA TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA
Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, Mhe. Dkt. Julius Kenneth Ningu (59) amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili kwa tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka na lugha za vitisho dhidi ya watumishi wa umma alipokuwa katika ziara za ukaguzi wa miradi m..... Soma zaidi
-
04
Sep
2023WAHESHIMIWA MAHAKIMU MKOA WA KILIMANJARO WAASWA KUJIEPUSHA NA MGONGANO WA MASLAHI
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Msaidizi kanda ya kaskazini Arusha Bi. Anna Mbasha alipokuwa akitoa mafunzo kwa mahakimu wa ngazi mbalimbali wa mkoa wa Kilimanjaro kuhusu maadili hivi karibuni... Soma zaidi
-
27
Jul
2017 -
29
Jul
2017 -
25
Jul
2017 -
25
Jul
2017