Baadhi ya wadau wa habari wa mikoa ya Kanda ya Kati walioshiriki kikao kazi kuhusu mchango wa vyombo vya habari katika kukuza maadili nchini wakisikiliza kwa makini hotuba ya ufunguzi katika kikao kazi hicho kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Zabibu Hoteli iliyopo jijini Dodoma tarehe 01 April, 2026.
Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kati Bi. Jasmin Awadh akifungua kikao kazi na wadau wa habari wa mikoa ya Kanda hiyo. Kikao kazi hicho kilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Zabibu Hotel iliyopo mkoani Dodoma tarehe 01 Aprili, 2026.
Baadhi ya wadau wa habari walioshiriki Kikao kazi kuhusu mchango wa vyombo vya habari katika kukuza maadili nchini wakifatilia mada kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Midland iliyopo Makambako mkoani Njombe tarehe 30 Machi, 2026.
Katibu Msaidizi Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi Bi. Anna Mbasha akifungua kikao kazi kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Wamiliki wa Vyombo vya Habari Kanda ya Magharibi kilichofanyika katika hoteli ya JM mkoani Tabora, Tarehe 30 Machi 2026.
Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Bw. Pauline Kanoni akifungua Kikao Kazi cha wamiliki wa vyombo vya habari wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Midland iliyopo Makambako mkoani Njombe tarehe 30 Machi, 2026.
Mkurugenzi wa Mipango na Tathmini Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bw. Omary Juma akitoa neno la utangulizi kuhusu majukumu ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa washiriki wa kikao cha wamiliki wa vyombo vya habari kanda ya magharibi kilichofanyika katika Hoteli ya JM mkoani Tabora, Machi 30, 2026.
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi kuhusu mchango wa vyombo vya habari katika kukuza maadili nchini wakisikiliza kwa makini hotuba ya ufunguzi katika kikao kilichofanyika katika Hoteli ya JM Mkoani Tabora tarehe 30 Mach,2026
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bi. Teddy Njau akitoa neno la utangulizi katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo. Baraza hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya ofisi hiyo jijini Dodoma tarehe 18 Machi, 2026.
Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Stahiki) Sivangilwa Mwangesi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Baraza hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya ofisi hiyo jijini Dodoma tarehe 18 Machi, 2026.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bi. Teddy Njau akitoa neno la utangulizi katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo. Baraza hilo limefanyika katika ukumbi wa mikutano makao makuu ya ofisi hiyo jijini Dodoma tarehe 18 Machi, 2026.